Wednesday, December 23, 2009

Waziri Burian na mambo ya Copenhagen



Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais(Mazingira)Dkt.Batilda Burian(Kulia)akiongea na waandishi wa Habari(hawapo pichani) jana jijini Dar es salaam kuhusu masuala mbalimbali yaliyojili katika mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi uliomalizika tarehe 18,Desemba 2009 mjini Copenhagen,Denmark.Mkutano huo pamoja na mambo mengine ulizitaka nchi zilizoendelea kupunguza uzalishaji wa gesi joto angalau kwa asilimia 40 chini ya viwango vilivyokuwa vikizalishwa mwaka 1990.

No comments: