MPIGAPICHA WA MAGAZETI YA MWANANCHI COMMUNICATION, WACHAPAJI WA MAGAZETI YA THE CITIZEN NA MWANANCHI BWANA EMANUEL HERMAN WA KIMARA BONYOKWA ANASIKITIKA KUTANGA KIFO CHA MKEWE, MARIA BENDERA, KILICHOTOKEA LEO DESEMBA 24, 2009 ASUBHI KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI.
MIPANGO YA MAZISHI INAFANYIKA NAMANGA MSASANI KWA MAMA WA MAREHEMU NA MAZIKO YANATARAJI KUFANYIKA JUMAMOSI DESEMBA 26 JIJINI DAR ES ES SALAAM.
MAREHEMU AMEACHA MUME NA MTOTO MMOJA ELIZABETH HERMAN.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA MUNGU LIHIMIDIWE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NIDA Yaaswa Kuongeza Kasi Utoaji Huduma kwa Wawekezaji
Na Mwandishi Wetu - Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ameitaka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
1 comment:
nike shoes
curry 4
balenciaga shoes
jordans
coach outlet stores
air jordan
jordan shoes
off-white
nmd
jordan 12
Post a Comment