Sunday, December 27, 2009

Spika Sitta ataka wanamuziki wa injili wasaidiwe


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samwel Sitta akizindua albamu ya kundi la Kijitonyama upendo Group (KUG) katika tamasha lililofanyika siku ya Krismas kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Picha na Elias Msuya.

No comments:

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...