Sunday, December 27, 2009

Spika Sitta ataka wanamuziki wa injili wasaidiwe


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samwel Sitta akizindua albamu ya kundi la Kijitonyama upendo Group (KUG) katika tamasha lililofanyika siku ya Krismas kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Picha na Elias Msuya.

No comments:

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIUNDOMBINU YA BARABARA YA DAR ES SALAAM – LINDI

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa, amefanya ziara ya kukagua miundombinu ya barabara kuu ya Dar es Salaam – Lindi, iliyoha...