Thursday, December 24, 2009

Mambo ya Krismass


Wafanyabiashara wa kuku wakisafirisha kukuu tayari kwa kuwauza kwa wateja katika maeneo ya Ubungo jijini Dar es Salaam jana . Biashara ya kuku imechangamka katika kipindi hiki cha sikukuu ya Krismass. PHOTO/SILVAN KIWALE

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...