Thursday, December 24, 2009

Mambo ya Krismass


Wafanyabiashara wa kuku wakisafirisha kukuu tayari kwa kuwauza kwa wateja katika maeneo ya Ubungo jijini Dar es Salaam jana . Biashara ya kuku imechangamka katika kipindi hiki cha sikukuu ya Krismass. PHOTO/SILVAN KIWALE

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...