Friday, December 04, 2009

Balozi wa Rwanda nchini katika ziara na vyombo mbalimbali


Balozi Mpya wa Rwanda Nchini Bi.Fatuma Ndagiza akimweleza Spika wa Bunge Mhe. Samuel Sitta baadhi ya Mambo ambayo nchi yake ingependa kujifunza kutoka Bunge la Tanzania wakati alimpomtembelea kujitambulisha Ofisi kwa Spika jana . Balozi huyo wa Rwanda alimweleza Spika wa Bunge kuwa pamoja na mambo mengine Nchi yake inatarajia kuleta ujumbe Tanzania kwa lengo la kujifunza maswala ya Ushirika Nchini.
Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge.

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...