Friday, December 04, 2009

Balozi wa Rwanda nchini katika ziara na vyombo mbalimbali


Balozi Mpya wa Rwanda Nchini Bi.Fatuma Ndagiza akimweleza Spika wa Bunge Mhe. Samuel Sitta baadhi ya Mambo ambayo nchi yake ingependa kujifunza kutoka Bunge la Tanzania wakati alimpomtembelea kujitambulisha Ofisi kwa Spika jana . Balozi huyo wa Rwanda alimweleza Spika wa Bunge kuwa pamoja na mambo mengine Nchi yake inatarajia kuleta ujumbe Tanzania kwa lengo la kujifunza maswala ya Ushirika Nchini.
Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge.

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...