Friday, December 29, 2006

Dege jipya la ATC


Shirika la ndege la Tanzania ATC limeingiza nchini dege jipya lenye siti 102 aina ya boeing 737-200 (hili ni kubwa kwetu msicheke) kutoka kampuni ya Celtic Capital Corporation ya Canada linaanza kazi leo.

1 comment:

NDABULI said...

Mtumba huo au brand new?

SERIKALI YATOA WITO KWA DIASPORA KUWEKEZA NYUMBANI

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. David Cosato Chumi (Mb) kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirik...