
Shirika la ndege la Tanzania ATC limeingiza nchini dege jipya lenye siti 102 aina ya boeing 737-200 (hili ni kubwa kwetu msicheke) kutoka kampuni ya Celtic Capital Corporation ya Canada linaanza kazi leo.
Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...
1 comment:
Mtumba huo au brand new?
Post a Comment