Tuesday, January 27, 2009

LIUMBA NA WENZAKE WAPANDISHWA KISUTU


Taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema kwamba yule Mkurugenzi maarufu wa BOT na siyo BoT pekee bali katika meeneo mengine Amatus Liumba na wenzake mwenzake tayari wako wawili wameshafikishwa eneo la viwanja vya mahakama ya Kisutu wakiwa katika gari la Takukuru wanasubiri kuingizwa ndani ya mahakama muda mchache ujao.

Aliwahi kuhojiwa na Takukuru muda mrefu kuhusiana na mambo ya ajira zisizofuata taratibu

No comments:

Kaimu Mkurugenzi Mbarali Apokea Mkataba wa Ujenzi wa Kiwanda cha Kuchakata Mafuta ya Alizeti

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali , Bi. Gloria Komba, amepokea rasmi mkataba wa ujenzi wa jengo la kuchakata mafuta ya al...