Tuesday, January 27, 2009

LIUMBA NA WENZAKE WAPANDISHWA KISUTU


Taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema kwamba yule Mkurugenzi maarufu wa BOT na siyo BoT pekee bali katika meeneo mengine Amatus Liumba na wenzake mwenzake tayari wako wawili wameshafikishwa eneo la viwanja vya mahakama ya Kisutu wakiwa katika gari la Takukuru wanasubiri kuingizwa ndani ya mahakama muda mchache ujao.

Aliwahi kuhojiwa na Takukuru muda mrefu kuhusiana na mambo ya ajira zisizofuata taratibu

No comments:

RAIS DKT.MWINYI AKAGUA MRADI WA MJI WA AFCON FUMBA, AANGALIA MAENDELEO YA UWANJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi , leo Aprili 14, 2026, ameandika historia mpya baada ya kukagua ma...