Tuesday, January 27, 2009

LIUMBA NA WENZAKE WAPANDISHWA KISUTU


Taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema kwamba yule Mkurugenzi maarufu wa BOT na siyo BoT pekee bali katika meeneo mengine Amatus Liumba na wenzake mwenzake tayari wako wawili wameshafikishwa eneo la viwanja vya mahakama ya Kisutu wakiwa katika gari la Takukuru wanasubiri kuingizwa ndani ya mahakama muda mchache ujao.

Aliwahi kuhojiwa na Takukuru muda mrefu kuhusiana na mambo ya ajira zisizofuata taratibu

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...