Friday, January 02, 2009

Walahi mabata ushungu miye





Wananchi wa kule Tabata wakijimwaga katika ukumbi wa Da West Night Park wakifanya mavitu yao wallahi ilikuwa babu kubwa hata Peres Mwangoka alikuwapo na akatutwangia picha hizi aisee ilikuwa balaaa wacha sijui wewe ulikuwa wapi hebu nieleze mwenzangu.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...