Friday, January 02, 2009

Walahi mabata ushungu miye





Wananchi wa kule Tabata wakijimwaga katika ukumbi wa Da West Night Park wakifanya mavitu yao wallahi ilikuwa babu kubwa hata Peres Mwangoka alikuwapo na akatutwangia picha hizi aisee ilikuwa balaaa wacha sijui wewe ulikuwa wapi hebu nieleze mwenzangu.

No comments:

NGORONGORO YATOA ELIMU YA UHIFADHI SHIRIKISHI NA KUHAMASISHA UTALII MASHULENI

  Na Mwandishi Wetu, Karatu Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendelea na programu ya kutoa elimu ya uhifadhi shirikishi na kuhamasiha utal...