Friday, January 02, 2009

Walahi mabata ushungu miye





Wananchi wa kule Tabata wakijimwaga katika ukumbi wa Da West Night Park wakifanya mavitu yao wallahi ilikuwa babu kubwa hata Peres Mwangoka alikuwapo na akatutwangia picha hizi aisee ilikuwa balaaa wacha sijui wewe ulikuwa wapi hebu nieleze mwenzangu.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...