Tuesday, January 27, 2009

Chuo Kikuu Dodoma


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa huo Kikuu cha Dodoma wakati alipotembelea Chuo hicho Januari 26,2009. Kushoto kwake ni Makamu Mkuu wa Chuo,Profesa Idriss Kikula. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, William Lukuvi na kuliakwake ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Jumanne Maghembe.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...