Tuesday, January 27, 2009

Chuo Kikuu Dodoma


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa huo Kikuu cha Dodoma wakati alipotembelea Chuo hicho Januari 26,2009. Kushoto kwake ni Makamu Mkuu wa Chuo,Profesa Idriss Kikula. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, William Lukuvi na kuliakwake ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Jumanne Maghembe.

No comments:

TRENI YA MWENDOKASI KUFIKA MWANZA 2028

  Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa (wa pili kutoka kulia),akizungumza baada ya kukagua daraja la kupitisha magari chn ya reli, l...