Tuesday, January 27, 2009

Chuo Kikuu Dodoma


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa huo Kikuu cha Dodoma wakati alipotembelea Chuo hicho Januari 26,2009. Kushoto kwake ni Makamu Mkuu wa Chuo,Profesa Idriss Kikula. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, William Lukuvi na kuliakwake ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Jumanne Maghembe.

No comments:

RAIS SAMIA AMTEMBELEA PACOME, AMPATIA POLE NA KUMTAKIA AFYA NJEMA

  Dar es Salaam – Mchezaji wa klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua , amepata faraja ya kipekee baada ya kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungan...