Monday, January 12, 2009

sherehe za mapinduzi



Rais wa Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Amani Abeid Karume akitoka kukagua gwaride lililoandaliwa kwa ajili ya maadhimisho ya sherehe za miaka 45 ya Mapinduzi ya Zanzibar . Sherehe hizo zimefanyika leo katika uwanja wa michezo wa Gombani uliopo mjini Chakechake Pemba . Picha na Anna Nkinda - Maelezo

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...