Monday, January 12, 2009

sherehe za mapinduzi



Rais wa Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Amani Abeid Karume akitoka kukagua gwaride lililoandaliwa kwa ajili ya maadhimisho ya sherehe za miaka 45 ya Mapinduzi ya Zanzibar . Sherehe hizo zimefanyika leo katika uwanja wa michezo wa Gombani uliopo mjini Chakechake Pemba . Picha na Anna Nkinda - Maelezo

No comments:

CGP. KATUNGU AWATAKA MAAFISA USTAWI KUELIMISHA WAFUNGWA HAKI NA WAJIBU WAO

  Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii wa Jeshi la Ma...