Monday, January 12, 2009

sherehe za mapinduzi



Rais wa Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Amani Abeid Karume akitoka kukagua gwaride lililoandaliwa kwa ajili ya maadhimisho ya sherehe za miaka 45 ya Mapinduzi ya Zanzibar . Sherehe hizo zimefanyika leo katika uwanja wa michezo wa Gombani uliopo mjini Chakechake Pemba . Picha na Anna Nkinda - Maelezo

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...