
Mke wa Rais Salma Kikwete akisalimiana na Mke wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere,Maria wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Saba wa Jumuiya ya wanawake Tanzania(UWT) katika ukumbi wa kilimani mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquilino
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
No comments:
Post a Comment