Wednesday, January 07, 2009

Mkutano wa UWT


Mke wa Rais Salma Kikwete akisalimiana na Mke wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere,Maria wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Saba wa Jumuiya ya wanawake Tanzania(UWT) katika ukumbi wa kilimani mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquilino

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...