Wednesday, January 07, 2009

Mkutano wa UWT


Mke wa Rais Salma Kikwete akisalimiana na Mke wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere,Maria wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Saba wa Jumuiya ya wanawake Tanzania(UWT) katika ukumbi wa kilimani mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquilino

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...