
Mke wa Rais Salma Kikwete akisalimiana na Mke wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere,Maria wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Saba wa Jumuiya ya wanawake Tanzania(UWT) katika ukumbi wa kilimani mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquilino
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...
No comments:
Post a Comment