Tuesday, January 27, 2009

Mbunge mpya huyu Mbeya vijijini


Mshindi wa kiti cha Ubunge wa jimbo la Mbeya Vijijini, Mchungaji Luckson Mwanjali (wa pili kushoto), akipongezwa na baadhi ya wapiga kura wake jana, mara baada ya matokeo ya awali yasiyo rasmi kuonyesha kuwa ameshinda katika uchaguzi wa jimbo hilo uliofanyika jumapil kwa kuvishinda vyama vya CUF na SAU. Picha na Emmanuel Herman

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...