Tuesday, January 27, 2009

Mbunge mpya huyu Mbeya vijijini


Mshindi wa kiti cha Ubunge wa jimbo la Mbeya Vijijini, Mchungaji Luckson Mwanjali (wa pili kushoto), akipongezwa na baadhi ya wapiga kura wake jana, mara baada ya matokeo ya awali yasiyo rasmi kuonyesha kuwa ameshinda katika uchaguzi wa jimbo hilo uliofanyika jumapil kwa kuvishinda vyama vya CUF na SAU. Picha na Emmanuel Herman

No comments:

TRENI YA MWENDOKASI KUFIKA MWANZA 2028

  Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa (wa pili kutoka kulia),akizungumza baada ya kukagua daraja la kupitisha magari chn ya reli, l...