Mshindi wa kiti cha Ubunge wa jimbo la Mbeya Vijijini, Mchungaji Luckson Mwanjali (wa pili kushoto), akipongezwa na baadhi ya wapiga kura wake jana, mara baada ya matokeo ya awali yasiyo rasmi kuonyesha kuwa ameshinda katika uchaguzi wa jimbo hilo uliofanyika jumapil kwa kuvishinda vyama vya CUF na SAU. Picha na Emmanuel Herman
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment