Tuesday, September 27, 2011

IGP Mwema apata ajali


IGP Said Mwema ((Pichani aliyenyoosha mkono) amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea jana (Pichani) iliyotokea barabara ya Kivukoni front mbele ya ofisi za takwimu na wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa majira ya saa 8 mchana. Gari ya IGP ilikuwa inatokea magogoni iligongana na gari dogo (Saloon) T 960 AYK gari ya IGP iliumia sana upande wa mbele kushoto.
Picha na: DEUSDEDIT MOSHI WA DM.PHOTO SOLUTIONS (TZ)

2 comments:

Anonymous said...

Ni nani mwenye makosa?

Anonymous said...

Hiyo gari ya IGP kuitengeneza si chini ya milioni kumi.

MAKAMU WA RAIS MHE. DKT. PHILIP MPANGO AONGOZA KIKAO CHA 15 CHA KAMATI YA PAMOJA YA MASUALA YA MUUNGANO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, ameongoza Kikao cha 15 cha Kamati ya Pamoja kati ya Serikali ya ...