Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini wilayani Arusha wakiwa katika dua ya pamoja katika ukumbi wa CCM mkoa wa Arusha ili kuwaombea marehemu na waathirika wa ajali ya meli ya MV Spice Island iliyotokea mjini Zanzibar wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 204 na kujeruhi zaidi ya 500,katika dua hiyo pia jumla ya shilingi milioni 3.6 ilichangishwa kama rambirambi ya ajali hiyo(Picha na Happy Lazaro).
Sunday, September 18, 2011
Dua wa kuwaombea wahanga wa Mv Spice Island
Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini wilayani Arusha wakiwa katika dua ya pamoja katika ukumbi wa CCM mkoa wa Arusha ili kuwaombea marehemu na waathirika wa ajali ya meli ya MV Spice Island iliyotokea mjini Zanzibar wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 204 na kujeruhi zaidi ya 500,katika dua hiyo pia jumla ya shilingi milioni 3.6 ilichangishwa kama rambirambi ya ajali hiyo(Picha na Happy Lazaro).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
*MV NEW MWANZA YAZINDULIWA RASMI*
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amezindua meli ya kisasa MV New Mwanza, akibainisha kuwa ni uwekezaji wa kimkakati wa Serikali katika kui...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment