Wednesday, September 14, 2011

kampeni za Chadema Igunga

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kinungu, katika mkutano wa kampeni za ubunge wa jimbo la Igunga jana.
Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki, Sylvester Kasulumbai akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kinungu, ikiwa ni sehemu wa kampeni za ubunge wa jimbo la Igunga jana.

No comments:

RAIS SAMIA AMKARIBISHA RAIS WA NAMIBIA KATIKA ZIARA YA KITAIFA, WAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIDIPLOMASIA NA MAENDELEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt....