Wednesday, September 14, 2011

kampeni za Chadema Igunga

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kinungu, katika mkutano wa kampeni za ubunge wa jimbo la Igunga jana.
Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki, Sylvester Kasulumbai akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kinungu, ikiwa ni sehemu wa kampeni za ubunge wa jimbo la Igunga jana.

No comments:

*MV NEW MWANZA YAZINDULIWA RASMI*

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amezindua meli ya kisasa MV New Mwanza, akibainisha kuwa ni uwekezaji wa kimkakati wa Serikali katika kui...