Wednesday, September 14, 2011

kampeni za Chadema Igunga

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kinungu, katika mkutano wa kampeni za ubunge wa jimbo la Igunga jana.
Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki, Sylvester Kasulumbai akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kinungu, ikiwa ni sehemu wa kampeni za ubunge wa jimbo la Igunga jana.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...