Tuesday, September 20, 2011

Chadema wawashabikia waliomvamia DC



Wanachama wa CHADEMA mjini Igunga, jana walijawa na furaha kubwa wakati wakiwapokea wabunge wao waliokamatwa hivi karibuni na kuwekwa rumande mjini Igunga na baadae kuhamishiwa kituo cha polisi mkoani Tabora kwa kosa la kumsukasuka mkuu wa Wilaya ya Igunga, Fatuma Kimario. Wabunge hao ni Sylivester Kasulumbai, mbunge wa Maswa Mashariki, Suzani Kiwanga, ambae ni mbunge wa viti maalumu.

No comments: