Monday, September 26, 2011

Rais Kikwete arejea nchini


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda muda mfupi baada ya kuwasili kutoka New York Marekani ambapo pamoja na mambo mengine alihutubia baraza la Umoja wa Mataifa. Kushoto no Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick
(picha na Freddy Maro).

No comments: