Monday, September 26, 2011

Rais Kikwete arejea nchini


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda muda mfupi baada ya kuwasili kutoka New York Marekani ambapo pamoja na mambo mengine alihutubia baraza la Umoja wa Mataifa. Kushoto no Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick
(picha na Freddy Maro).

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...