Tuesday, September 27, 2011

IGP Mwema apata ajali


IGP Said Mwema ((Pichani aliyenyoosha mkono) amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea jana (Pichani) iliyotokea barabara ya Kivukoni front mbele ya ofisi za takwimu na wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa majira ya saa 8 mchana. Gari ya IGP ilikuwa inatokea magogoni iligongana na gari dogo (Saloon) T 960 AYK gari ya IGP iliumia sana upande wa mbele kushoto.
Picha na: DEUSDEDIT MOSHI WA DM.PHOTO SOLUTIONS (TZ)

2 comments:

Anonymous said...

Ni nani mwenye makosa?

Anonymous said...

Hiyo gari ya IGP kuitengeneza si chini ya milioni kumi.

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...