Tuesday, September 27, 2011

IGP Mwema apata ajali


IGP Said Mwema ((Pichani aliyenyoosha mkono) amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea jana (Pichani) iliyotokea barabara ya Kivukoni front mbele ya ofisi za takwimu na wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa majira ya saa 8 mchana. Gari ya IGP ilikuwa inatokea magogoni iligongana na gari dogo (Saloon) T 960 AYK gari ya IGP iliumia sana upande wa mbele kushoto.
Picha na: DEUSDEDIT MOSHI WA DM.PHOTO SOLUTIONS (TZ)

2 comments:

Anonymous said...

Ni nani mwenye makosa?

Anonymous said...

Hiyo gari ya IGP kuitengeneza si chini ya milioni kumi.

ARUSHA NATIONAL PARK RANKED THIRD AMONG 20 BEST PLACES TO VISIT IN 2026 - CNN TRAVEL

By Philipo Hassan Arusha National Park, found in Arusha, Tanzania was mentioned by CNN Travel in their latest article published on December ...