
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM (NEC) ambaye pia ni mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde akimuonyesha afisa wa polisi kioo cha nyuma cha gari aina ya Toyota Prado T 888 ALL lililorushiwa mawe jana katika kijiji cha Nkinga kati na vijana wanaodhaniwa ni wafuasi wa Chadema. (Picha na Daniel Mjema)
No comments:
Post a Comment