Monday, September 19, 2011

Waziri Maghembe afanya ziara ya ghafla sokoni


Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe akinunua sukari ya kilombero katika Soko la Kipati, Mbagala Jijini Dar es Salaam leo. Sukari hiyo ilikuwa ikiuzwa Shilingi 1,900 kwa kilo moja.

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe akipata maelezo kutoka kwa Bwana Harshid Chavda mwakilishi wa Kiwanda cha Sukari Kilombero kuhusu kiwango cha uzalishaji kwa siku na kiasi kinachouzwa kwa wasambazaji katika Mkoa wa Dar es Salaam kwa kila siku wakati Waziri alipofanya ziara ya dharura katika ofisi za kiwanda hicho, Gerezani Jijini Dar es Salaam.

No comments: