Sunday, June 20, 2010

Uzinduzi bodi ya TIC


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Katibu Mkuu , Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Maimuna Tarishi baada ya kuzindua Bodi ya Wakurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwenye hoteli ya New Dodoma jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

1 comment:

Anonymous said...

huyu jamaa angekuwa rais labda mambo yangebadilika kidogo, anaonekana mtu wa kawaida.

UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA

📌 *Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS*  📌 *Awamu ya  pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026.*   *📌A...