Sunday, June 06, 2010

Safari ya Twiga Stars Marekani yaiva


Mlezi wa timu ya soka ya wanawake ya Twiga stars Rahma Al Kharoos akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Slaam jana, kuhusu kukamilika kwa safari yao ya wiki mbili ya timu hiyo nchini Marekani mwanzoni mwa mwezi Agosti mwaka huu, ambapo itacheza mechi nne za kirafiki za kujipima, kulia ni Ibrahim Khatrush. Picha na Michael Jamson

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...