Sunday, June 06, 2010

Safari ya Twiga Stars Marekani yaiva


Mlezi wa timu ya soka ya wanawake ya Twiga stars Rahma Al Kharoos akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Slaam jana, kuhusu kukamilika kwa safari yao ya wiki mbili ya timu hiyo nchini Marekani mwanzoni mwa mwezi Agosti mwaka huu, ambapo itacheza mechi nne za kirafiki za kujipima, kulia ni Ibrahim Khatrush. Picha na Michael Jamson

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...