Sunday, June 06, 2010

Safari ya Twiga Stars Marekani yaiva


Mlezi wa timu ya soka ya wanawake ya Twiga stars Rahma Al Kharoos akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Slaam jana, kuhusu kukamilika kwa safari yao ya wiki mbili ya timu hiyo nchini Marekani mwanzoni mwa mwezi Agosti mwaka huu, ambapo itacheza mechi nne za kirafiki za kujipima, kulia ni Ibrahim Khatrush. Picha na Michael Jamson

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...