Friday, June 25, 2010

Waziri Mkuu akutana na vijana wa Dodoma


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pmoja na Viongozi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma baada ya kufungua kongamano la siku tatula Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma kwenye ukumbi wa African Dream Mjini Dodoma leo. (Picha na Ofisi ya Wazir Mkuu)

No comments:

DKT. MWIGULU AWASILI SONGEA KUSHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA JENISTA MHAGAMA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Desemba 15, 2025 amewasili mjini Songea mkoani Ruvuma kwa ajili ya...