Sunday, June 20, 2010

Mashindano ya UMISETA


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (Wapili kushoto) akizungumza na washiriki wa mashindano ya Umoja wa Michezo wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) wakati alipofungua mashindano hayo kwenye uwanja wa Shirika la Elimu la Kibaha Juni 20, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Mashindano ya Umoja wa Michezo wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) kwenye uwanja wa Shirika la Elimu KIbaha Juni 20, 2010. Kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Jumanne Mghembe na Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Hajati Amina Mrisho. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Washiriki wa Mashindano ya Umoja wa Michezo wa Shule za Sekondari TANZANIA (UMISETA) wakipita kwa maandamano mbele ya Mgeni Rasmi, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwenye uwanja wa Shirika la Elimu Kibaha Juni 20 , 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...