Wednesday, June 16, 2010

Siku ya mtoto wa Afrika cheki


Wakati wiki hii na hasa jana ilikuwa siku ya toto wa Afrika hebu cheki watoto wa kike waliodaiwa kuwa wanatokea katika kijiji cha Iziwa nje ya jiji la Mbeya wakijificha kupiga picha huku wakiwa wamebeba mafurushi ya kuni wakiwa wanasaka wateja katika maeneo ya mabatini jiini hapa (Picha na Hawa Mathias, Mbeya)

No comments:

Rais Museveni Afanya Ziara ya Kikazi Tanzania, Aimarisha Ushirikiano wa Kidiplomasia na Kiuchumi na Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi ya siku moja, ziara inayodh...