Wednesday, June 16, 2010

Siku ya mtoto wa Afrika cheki


Wakati wiki hii na hasa jana ilikuwa siku ya toto wa Afrika hebu cheki watoto wa kike waliodaiwa kuwa wanatokea katika kijiji cha Iziwa nje ya jiji la Mbeya wakijificha kupiga picha huku wakiwa wamebeba mafurushi ya kuni wakiwa wanasaka wateja katika maeneo ya mabatini jiini hapa (Picha na Hawa Mathias, Mbeya)

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...