Wednesday, June 16, 2010

Siku ya mtoto wa Afrika cheki


Wakati wiki hii na hasa jana ilikuwa siku ya toto wa Afrika hebu cheki watoto wa kike waliodaiwa kuwa wanatokea katika kijiji cha Iziwa nje ya jiji la Mbeya wakijificha kupiga picha huku wakiwa wamebeba mafurushi ya kuni wakiwa wanasaka wateja katika maeneo ya mabatini jiini hapa (Picha na Hawa Mathias, Mbeya)

No comments:

UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA

📌 *Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS*  📌 *Awamu ya  pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026.*   *📌A...