Friday, December 20, 2024

WADAU MBALIMBALI WAJUMUIKA PAMOJA KATIKA UZINDUZI WA TUZO ZA UTALII NA UHIFADHI MAUNT MERU ARUSHA

 

Wageni mbalimbali tayari wamewasili katika Hoteli ya Mt. Meru Arusha kushuhudia tukio la kihistoria la Uzinduzi wa Tuzo za Uhifadhi na Utalii leo Disemba 20, 2024.

Mgeni rasmi ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa.










 

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...