Saturday, December 14, 2024

UFAFANUZI ATCL NA TRENI YA SGR


1. Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) lipo katika mchakato wa kuanza safari za Ulaya. HUKO SIO KUZUIWA!

2. Serikali haijanunua na haina mpango wa kuanza kununua vichwa vya treni za SGR vya kutumia mafuta ya dizeli. Tunanunua vya umeme, haturudi nyuma.

 *Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa*

No comments:

WAZIRI MKUU MAJALIWA KUFUNGUA CHAN2024 KWA MKAPA

   Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika  ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2...