Wednesday, December 11, 2024

BENKI KUU YA TANZANIA KUSIKILIZA MALALAMIKO YA WATEJA KIDIGITALI

  Kaimu Mkurugenzi wa Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha BoT, Ms Nangi Massawe, Akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha maalum kwa watoa huduma za kifedha, iliyofanyika leo Disemba 10, 2024.

  Kaimu Meneja wa kumlinda mtumiaji wa Huduma za Fedha, Idara ya Ulinzi wa Watumiaji wa Fedha, BoT, Dkt. Khadija Kishimba, akifafanua jambo alipokuwa akizungumza katika Warsha hiyo, iliyofanyika katika Ofii za BoT Jijini Dar es Salaam. 

Meneja Msaidizi Idara ya Kumlinda Mtumiaji wa Huduma za Kifedha, Benki Kuu ya Tnzania BoT, Violet Luhanjo, akizungumza katika warsha hiyo.

  

 Meneja Msaidizi Idara ya Kumlinda Mtumiaji wa Huduma za Kifedha, Benki Kuu ya Tnzania BoT, Violet Luhanjo, akizungumza katika warsha hiyo.

.









No comments:

WAZIRI MKUU MAJALIWA KUFUNGUA CHAN2024 KWA MKAPA

   Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika  ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2...