Wednesday, December 11, 2024

BENKI KUU YA TANZANIA KUSIKILIZA MALALAMIKO YA WATEJA KIDIGITALI

  Kaimu Mkurugenzi wa Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha BoT, Ms Nangi Massawe, Akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha maalum kwa watoa huduma za kifedha, iliyofanyika leo Disemba 10, 2024.

  Kaimu Meneja wa kumlinda mtumiaji wa Huduma za Fedha, Idara ya Ulinzi wa Watumiaji wa Fedha, BoT, Dkt. Khadija Kishimba, akifafanua jambo alipokuwa akizungumza katika Warsha hiyo, iliyofanyika katika Ofii za BoT Jijini Dar es Salaam. 

Meneja Msaidizi Idara ya Kumlinda Mtumiaji wa Huduma za Kifedha, Benki Kuu ya Tnzania BoT, Violet Luhanjo, akizungumza katika warsha hiyo.

  

 Meneja Msaidizi Idara ya Kumlinda Mtumiaji wa Huduma za Kifedha, Benki Kuu ya Tnzania BoT, Violet Luhanjo, akizungumza katika warsha hiyo.

.









No comments:

Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...