Tuesday, June 06, 2017

SAMSUNG WAJA NA STIKA MBILI KUTOKOMEZA BIDHAA FEKI NCHINI

Balozi wa Samsung,Latifa Ally akitoa elimu kwa mteja kuhusu stika mbili zinazohusishwa na kampeni ya Samsung inayotarajiwa kuanza hivi karibuni stika hizo inayolenga kutokomeza bidhaa feki nchini.
Mabalozi wa Samsung wakitoa burudani na kutoa elimu kwa wateja juu ya stika mbili zinazohusishwa na kampeni ya Samsung katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam.
Mabalozi wa Samsung wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Aungana na Waombolezaji Chato Katika Ibada ya Kumuaga Mama wa Hayati Dkt. John Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na waombolezaji mbalimbali kushiriki Ibada ya kumu...