Tuesday, June 06, 2017

SAMSUNG WAJA NA STIKA MBILI KUTOKOMEZA BIDHAA FEKI NCHINI

Balozi wa Samsung,Latifa Ally akitoa elimu kwa mteja kuhusu stika mbili zinazohusishwa na kampeni ya Samsung inayotarajiwa kuanza hivi karibuni stika hizo inayolenga kutokomeza bidhaa feki nchini.
Mabalozi wa Samsung wakitoa burudani na kutoa elimu kwa wateja juu ya stika mbili zinazohusishwa na kampeni ya Samsung katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam.
Mabalozi wa Samsung wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments:

VIONGOZI WA MANISPAA YA KIBAHA WATEMBELEA MBUGA YA MIKUMI KUUNGA MKONO UTALII WA NDANI

  Mikumi, Morogoro – Katika juhudi za kuunga mkono kampeni ya kukuza utalii wa ndani iliyoanzishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanza...