Friday, April 14, 2017

MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WA CCM LEO


Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akiagana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake (UWT) Ndugu Amina Makillagi (kulia), Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo (kushoto) pamoja na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole baada ya kukutana nao Ikulu jijini Dar es salaam leo Aprili 14, 2017. PICHA NA IKULU 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole akiongea leo

No comments: