Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt.
Mwigulu Nchemba, ambae ni mgeni rasmi, kwenye maadhimisho ya miaka 30 ya
Taasisi ya Saratani ya Ocean Road akiwasili na kupokelewa na Waziri wa
Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Februari 12, 2026, Ukumbi wa Mikutano
wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Afya, Mhe. Mohammed Mchengerwa, akitoa maelezo mbele ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, wakati wa maadhimisho ya miaka 30 ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, yanayofanyika leo Februari 12, 2026, katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam







No comments:
Post a Comment