Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA)
inayoongozwa na Mwenyekiti wake, Mkuu wa Majeshi mstaafu Jenerali
Venance Salvatory Mabeyo imeanza Vikao vya Bodi hiyo ngazi ya Kamati za
Kisekta kujadili utekelezaji wa Majukumu mbalimbali ya shirika kwa
kipindi cha miezi 6 iliyopita (Julai- Desemba 2025) mwaka wa Fedha
2025/2026
Tuesday, February 24, 2026
JENERALI VENANCE MABEYO AONGOZA KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI NCAA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027
Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...





No comments:
Post a Comment