Sunday, February 01, 2026

VIONGOZI WA SERIKALI WASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA MZEE NGAJILO

 

Viongozi mbalimbali wa taifa na mkoa wakiwasili katika uwanja wa Samora katika ibada ya marehemu  Mzee Fabian Ngajilo aliyefariki dunia tarehe 29 Januari mjini Njombe.
Mzee Fabian Ngajilo ni baba mzazi wa Mbunge wa Iringa mjini na mfanyabiashara maarufu nchini Fred Ngajilo Fred Vunjabei. 
Viongozi mbalimbali wa kitaifa wa chama na serikali waliofika hadi muda huu ni Mhandisi  Hamad Masauni,  Mwenyekiti wa Wazazi Taifa wa CCM Fadhili Maganya  wakuu wa mikoa ,wakuu wa wilaya na wabunge mbalimbali.





No comments:

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...