Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo ya kidiplomasia na Rais wa Jamhuri ya Angola, Mheshimiwa João Lourenço, pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika unaofanyika jijini Addis Ababa, tarehe 14 Februari 2026.
Saturday, February 14, 2026
TANZANIA NA ANGOLA ZAIMARISHA UHUSIANO WA KIMKAKATI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo ya kidiplomasia na Rais wa Jamhuri ya Angola, Mheshimiwa João Lourenço, pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika unaofanyika jijini Addis Ababa, tarehe 14 Februari 2026.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AZINDUA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA JULIUS NYERERE, AAGIZA UKAMILISHAJI WA MIUNDOMBINU YA KUSAFIRISHA UMEME NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi, wageni mbalimbali pamoja na wananchi waliohudhur...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...



No comments:
Post a Comment