Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Kampuni ya Grupa Zenith
kutoka nchini Poland, Dkt. Aleksander Joseph Widuchi, tarehe 14 Aprili,
2026 Ikulu Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu
Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Kampuni ya Grupa
Zenith kutoka nchini Poland, Dkt. Aleksander Joseph Widuchi, tarehe 14
Aprili, 2026 Ikulu Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiangalia kitabu kinachoelezea masuala ya Mazingira, Nishati na masuala
mbalimbali ya Poland wengine pichani ni Rais wa Kampuni ya Grupa Zenith
kutoka nchini Poland, Dkt. Aleksander Joseph Widuchi pamoja na
Mkurugenzi Mtendaji Bi. Aleksandra Stephania Widuchi, tarehe 14 Aprili,
2026 Ikulu Dar es laam.








No comments:
Post a Comment