Wednesday, September 03, 2025

Umati Wamiminika Kumsikiliza Dkt. Samia Songwe πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸŽ‰








Umati mkubwa wa wananchi wa Momba, Tunduma – Mkoa wa Songwe umefurika leo, Septemba 03, 2025, kushiriki kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Shangwe na nderemo zilipamba hewani huku wananchi wakionesha mshikamano na hamasa kubwa ya kumuunga mkono Dkt. Samia katika safari ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.

πŸ“² Fuatilia matukio zaidi ya kampeni kupitia mitandao yetu ya kijamii:
πŸ‘‰ Instagram: @mamakajatz
πŸ‘‰ Twitter: @mamakajatz
πŸ‘‰ Facebook: Mamakajatz
πŸ‘‰ YouTube: Mama Kaja TZ

#Mamakaja #KaziIendelee #Samia2025 #Songwe

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...