Wednesday, September 03, 2025

Umati Wamiminika Kumsikiliza Dkt. Samia Songwe πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸŽ‰








Umati mkubwa wa wananchi wa Momba, Tunduma – Mkoa wa Songwe umefurika leo, Septemba 03, 2025, kushiriki kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Shangwe na nderemo zilipamba hewani huku wananchi wakionesha mshikamano na hamasa kubwa ya kumuunga mkono Dkt. Samia katika safari ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.

πŸ“² Fuatilia matukio zaidi ya kampeni kupitia mitandao yetu ya kijamii:
πŸ‘‰ Instagram: @mamakajatz
πŸ‘‰ Twitter: @mamakajatz
πŸ‘‰ Facebook: Mamakajatz
πŸ‘‰ YouTube: Mama Kaja TZ

#Mamakaja #KaziIendelee #Samia2025 #Songwe

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...