Wednesday, September 03, 2025

Umati Wamiminika Kumsikiliza Dkt. Samia Songwe πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸŽ‰








Umati mkubwa wa wananchi wa Momba, Tunduma – Mkoa wa Songwe umefurika leo, Septemba 03, 2025, kushiriki kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Shangwe na nderemo zilipamba hewani huku wananchi wakionesha mshikamano na hamasa kubwa ya kumuunga mkono Dkt. Samia katika safari ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.

πŸ“² Fuatilia matukio zaidi ya kampeni kupitia mitandao yetu ya kijamii:
πŸ‘‰ Instagram: @mamakajatz
πŸ‘‰ Twitter: @mamakajatz
πŸ‘‰ Facebook: Mamakajatz
πŸ‘‰ YouTube: Mama Kaja TZ

#Mamakaja #KaziIendelee #Samia2025 #Songwe

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...