Friday, September 26, 2025

MAJALIWA AONGOZA MAZISHI YA ABBAS MWINYI








WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Septemba 26, 2025 ameshiriki katika maziko ya Abbas Ali Mwinyi ambaye ni kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi yaliyofanyika Mangapwani, Zanzibar

No comments:

CHUO KIKUU MZUMBE CHAPOKEWA MSAADA WA VITABU KUTOKA ACCA

  Chuo Kikuu Mzumbe kimepokea vitabu 69 vya kufundishia na kujifunzia kutoka Association of Chartered Certified Accountants (ACCA) kupitia o...