Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akiongoza ujumbe wa viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambao walitembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki, Haikamen Mlekio akisalimiana na Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Mhe. Hamad Rashid Mohammed wakati viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiukaribisha ujumbe wa viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar waliotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiukaribisha ujumbe wa viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar waliotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akibadilishana jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohammed Aboud Mohmamed wakati Waziri huyo na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akijadiliana jambo na Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Mhe. Hamad Rashid Mohammed wakati wa ziara ya viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akijadiliana jambo na mmoja wa viongozi wa Zanzibar wakati wa ziara ya viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akibadilishana Profesa Ninatubu Lema wakati Waziri huyo na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akibadilishana Profesa Ninatubu Lema huku Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiwasikkiliza wakati Waziri huyo na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa na kuzungumza mazungumzo ya awali ya namna ambavyo Shirika litakavyoshiriki katika kulipanga upya eneo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lililopo katika eneo la Sadani Bagamoyo kwaajili ya maendelezoya baadaye.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment