Monday, February 27, 2017

Rais Magufuli Amuapisha Kamishna Jenerali wa Jeshi za Zima Moto na Mabalozi wanne

Katika Picha ya pamoja leo Ikulu jijini Dar es Salaam
 
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tannzania Dkt, John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Matrida Masuka kuwa Balozi wa Tanzania nchini Korea Kusini
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, John Pombe Magufuli akimuapisha Thobias Andengenye kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zima Moto na Uokoaji Tukio lililofanyiaka leo Ikulu Dar es Salaam
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tannzania Dkt, John Pombe Magufuli Balozi Abdalla Kilima kuwa balozi wa Tanzania nchini Oman
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tannzania Dkt, John Pombe Magufuli Balozi Silima Haji kuwa Balozi wa Tanzania nchini Sudan
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tannzania Dkt, John Pombe Magufuli akimuapisha Mhe. Dkt. Pindi Chana kuwa Balozi wa Tanzania nchini Kenya.


No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...