Thursday, February 23, 2017

NHIF YAKUTANA NA WADAU NA KUAHIDI UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA MKOANI GEITA

Mwenyekiti wa Bodi NHIF na Spika mstaafu wa Bunge mama Anna Makinda akisisitiza juu ya kuboreshwa huduma katika mfuko wa Bima ya afya wa Taifa. 
Mkuu wa Mkoa wa Geita,Meja jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga akiwa na mwenyekiti wa Bodi ya NIHF wakisikiliza kwa makini taarifa ya Mkoa wa Geita juu ya mfuko wa bima ya afya .
Mbunge wa Geita Mjini Constatine Kanyasu na Mbunge wa Jimbo la Busanda  Lorencia Bukwimba wakifuatilia mkutano .
Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga akifungua mkutano wa wadau wa Mfuko wa Bima wa Taifa Mkoani Humo.
Mbunge wa Geita Mjini Constatine Kanyasu,akielezea namna ambavyo kumekuwepo na changamoto za huduma ya afya katika jimbo ambalo analiongoza.
Mbunge wa Bukombe Dotto Biteko akichangia swala la huduma ambazo zinatolewa na mfuko wa Bima ya afya wa NHIF.
Baadhi ya wajumbe wakiwa kwenye mkutano huo wakisikiliza taarifa ya utekelezaji wa shughuli za NHIF.
Kaimu Mkurugenzi wa NHIF Angela Mziray akifafanua namna ambavyo NHIF imekuwa ikisaidia wa gonjwa wenye magonjwa yasiyoambukiza.
Meneja wa NHIF Mkoani Geita Mathias Sweya akielezea namna ambavyo shughuli za kuandikisha wanachama wapya jinsi zikifanyika Mkoani Geita .
Wajumbe wakiendelea kufatilia mkutano.
Mwenyekiti wa Bodi NHIF na Spika mstaafu wa Bunge mama Anna Makinda,akiwashkuru wajumbe ambao wamehudhuria Mkutano huo.
Picha ya pamoja mwenyekiti wa Bodi ya NHIF pamoja na wajumbe ambao wameshiriki mkutano huo.

No comments: