Thursday, February 23, 2017

VIFAA VYA OFISI VYA WATUMISHI WA MALIASILI WANAOHAMIA DODOMA AWAMU YA KWANZA VYASAFIRISHWA LEO

 Moja ya gari la jeshi lililokuwa limebeba vifaa vya ofisi vya watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii likiondoka rasmi makao makuu ya wizara hiyo leo kuelekea mjini Dodoma. (Picha na Hamza Temba - WMU)
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe akiaga msafara wa magari yaliyobeba vifaa vya ofisi vya kundi la kwanza la watumishi wa wizara hiyo wanaohamia Makao Makuu ya Nchi Mjini Dodoma nje ya jengo kuu la Wizara hiyo (Mpingo House) Jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Hamza Temba - WMU)

No comments: