Friday, September 28, 2012

WARSHA YA UMUHIMU WA ALAMA KATIKA UTOAJI WA HUDUMA KWA VIZIWI YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

 
Mkurugenzi wa Idara ya Habari( MAELEZO)Assah Mwambene  kushoto akifungua Warsha kuhusu umuhimu wa Lugha ya Alama katika Utoaji  huduma  kwa Viziwi kwenye Ukumbi wa World Family of  Radio Maria,Regency Estate mjini Dar es Salaam na kulia ni Mkalimani wa Lugha ya Alama.
(PICHA NA ANNA ITENDA WA MAELEZO)
 
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Ndugu Assah Mwambene Kushoto akibadilishana  mawazo na  Deputy Chief Executive Officer  wa (CCBRT) Mama Susan Boon kwenye Warsha ya kuhusu Umuhimu wa Lugha ya Alama katika utoaji  huduma kwa Viziwi kwenye Ukumbi wa world Family  of  Radio Maria ,Regency Estate mjini Dar es Salaam leo.
 
Mkuu wa wa Idara ya Wanawake Chama Cha Viziwi Tanzania( CHAVITA)Lupi Maswanya Mwaisaka akitoa neno la Shukrani kwa Mgeni  Rasmi Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Ndugu Assah Mwambene wakati wa kufungua Warsha kuhusu Umuhimu wa  Lugha ya Alama katika utoaji  huduma kwa Viziwi kwenye Ukumbi wa World Family of Radio Maria uliopo Regency Estate  mjini Dar es Salaam leo.
 
Baadhi ya Washiriki kutoka Vyama na Asasi za Viziwi nchini ,Serikalini na kutoka Mashirika mengine ya kiraia wakimsikiliza Mkurugenzi  wa Idara ya Habari  (MAELEZO )Ndugu Assah Mwambene (hayupo pichani )akifungua Warsha  kuhusu umuhimu wa Lugha ya Alama katika Utoaji huduma kwa Viziwi kwenye Ukumbi  wa World Family of Radio Maria mjini Dar es Salaam leo.
 
Baadhi ya Washiriki kutoka Vyama na Asasi za Viziwi nchini ,Serikalini na kutoka Mashirika mengine ya kiraia wakimsikiliza Mkurugenzi  wa Idara ya Habari  (MAELEZO )Ndugu Assah Mwambene (hayupo pichani )akifungua Warsha  kuhusu umuhimu wa Lugha ya Alama katika Utoaji huduma kwa Viziwi kwenye Ukumbi  wa World Family of Radio Maria mjini Dar es Salaam leo. 
Mkurugenzi wa Idara ya Habari ( MAELEZO)Ndugu Assah Mwambene  wa kwanza kushoto akiangalia baadhi ya kazi zinazotengenezwa  na Viziwi wakati wa warsha kuhusu umuhimu wa lugha ya alama katika utoaji wa huduma kwa viziwi kwenye Ukumbi wa world Family  of  Radio Maria ,Regency Estate mjini Dar es Salaam leo.
 
Baadhi ya washiriki wa Warsha kuhusu Umuhimu wa Lugha ya Alama katika utoaji  huduma kwa Viziwi kwenye picha ya pamoja na mgeni Rasmi Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Ndugu Assah Mwambene  wa sita kushoto (aliyevaa suti) kwenye Ukumbi wa World Family of  Radio Maria ,uliopo  Regency Estate mjini Dar es Salaam leo.

1 comment:

Anonymous said...

I always used to read paragraph in news papers but
now as I am a user of web therefore from now I am using net for posts, thanks to web.
Also see my web site - dautomobile