Wednesday, September 19, 2012

CUF wachangisha fedha kujipanga na uchaguzi 2015


Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) akichangia pesa kwenye harambee iliyoambatana na matembezi ya hisani kuanzia Buguruni hadi kwenye viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam leo ambapo zaidi ya Sh 129 milioni zilichangwa. Pesa hizo ni kwaajili ya kueneza kampeni yao ya dira ya mabadiliko mikoani kote kujiandaa na uchaguzi 2015.



Profesa Lipumba akimuangalia Mwenyekiti wa  chama hicho wilaya ya Ilala Saidi Rico alipokuwa akichangia.



Msongamano wa wanachama wa chama hicho kwenye foleni ya kwenda kuchangia fedha

No comments:

RAIS SAMIA AJUMUIKA NA WANANCHI WETE KWENYE FUTARI YA RAMADHANI PEMBA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na makundi mbalimbali ya Wananchi wa Wete kwenye F...