Wednesday, September 19, 2012

CUF wachangisha fedha kujipanga na uchaguzi 2015


Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) akichangia pesa kwenye harambee iliyoambatana na matembezi ya hisani kuanzia Buguruni hadi kwenye viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam leo ambapo zaidi ya Sh 129 milioni zilichangwa. Pesa hizo ni kwaajili ya kueneza kampeni yao ya dira ya mabadiliko mikoani kote kujiandaa na uchaguzi 2015.



Profesa Lipumba akimuangalia Mwenyekiti wa  chama hicho wilaya ya Ilala Saidi Rico alipokuwa akichangia.



Msongamano wa wanachama wa chama hicho kwenye foleni ya kwenda kuchangia fedha

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...