Monday, September 10, 2012

Uzinduzi wa mauzo ya nyumba za NHC Levolosi


Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba (NHC), David Shambwe (Kushoto) akifafanua jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi wa mauzo ya nyumba za Shirika hilo zilizopo Levolosi, Arusha Tanzania, aliyeambatana naye ni Yahya Charahani ambaye ni Meneja Mawasiliano wa NHC. 
Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba (NHC), David Shambwe (kulia) akifafanua jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi wa mauzo ya nyumba za Shirika hilo zilizopo Levolosi, Arusha Tanzania, kulia kwake ni Itandula Kambalagi Meneja Masoko na Utafiti wa NHC.

Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba (NHC), David Shambwe (Katikati) akifafanua jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi wa mauzo ya nyumba za Shirika hilo zilizopo Levolosi, Arusha Tanzania, kushoto kwake ni Itandula Kambalagi Meneja Masoko na Utafiti wa NHC na Kulia ni Yahya Charahani Meneja Mawasiliano NHC.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...