Monday, September 10, 2012

Uzinduzi wa mauzo ya nyumba za NHC Levolosi


Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba (NHC), David Shambwe (Kushoto) akifafanua jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi wa mauzo ya nyumba za Shirika hilo zilizopo Levolosi, Arusha Tanzania, aliyeambatana naye ni Yahya Charahani ambaye ni Meneja Mawasiliano wa NHC. 
Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba (NHC), David Shambwe (kulia) akifafanua jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi wa mauzo ya nyumba za Shirika hilo zilizopo Levolosi, Arusha Tanzania, kulia kwake ni Itandula Kambalagi Meneja Masoko na Utafiti wa NHC.

Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba (NHC), David Shambwe (Katikati) akifafanua jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi wa mauzo ya nyumba za Shirika hilo zilizopo Levolosi, Arusha Tanzania, kushoto kwake ni Itandula Kambalagi Meneja Masoko na Utafiti wa NHC na Kulia ni Yahya Charahani Meneja Mawasiliano NHC.

No comments:

Waziri Kombo akutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Umoja wa Afrika

   Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa U...