Monday, September 10, 2012

Uzinduzi wa mauzo ya nyumba za NHC Levolosi


Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba (NHC), David Shambwe (Kushoto) akifafanua jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi wa mauzo ya nyumba za Shirika hilo zilizopo Levolosi, Arusha Tanzania, aliyeambatana naye ni Yahya Charahani ambaye ni Meneja Mawasiliano wa NHC. 
Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba (NHC), David Shambwe (kulia) akifafanua jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi wa mauzo ya nyumba za Shirika hilo zilizopo Levolosi, Arusha Tanzania, kulia kwake ni Itandula Kambalagi Meneja Masoko na Utafiti wa NHC.

Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba (NHC), David Shambwe (Katikati) akifafanua jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi wa mauzo ya nyumba za Shirika hilo zilizopo Levolosi, Arusha Tanzania, kushoto kwake ni Itandula Kambalagi Meneja Masoko na Utafiti wa NHC na Kulia ni Yahya Charahani Meneja Mawasiliano NHC.

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...