Wednesday, September 19, 2012

JK AWEKA RASMI JIWE LA MSINGI UJENZI MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA JIJINI DAR


.
Rais Kikwete akiwa kwenye moja ya vifaa vya kisasa vitakavyotumika kujenga barabara hiyo mara baada ya kuzindua jiwe la msingi.

Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete akizindua Jiwe la msingi la mradi wa Ujenzi wa mabasi yaendayo haraka barabara ya Morogoro leo jijini Dar es Salaam. Ujenzi hua utakao anzia Feli hadi Kimara kwa kuunganisha na barabara ya Kawawa kunzia Magomeni hadi Moroko ni waumbali zaidi ya Km21.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...