Wednesday, September 19, 2012

JK AWEKA RASMI JIWE LA MSINGI UJENZI MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA JIJINI DAR


.
Rais Kikwete akiwa kwenye moja ya vifaa vya kisasa vitakavyotumika kujenga barabara hiyo mara baada ya kuzindua jiwe la msingi.

Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete akizindua Jiwe la msingi la mradi wa Ujenzi wa mabasi yaendayo haraka barabara ya Morogoro leo jijini Dar es Salaam. Ujenzi hua utakao anzia Feli hadi Kimara kwa kuunganisha na barabara ya Kawawa kunzia Magomeni hadi Moroko ni waumbali zaidi ya Km21.

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...