Tuesday, December 21, 2010

Mary apata shahada ya uzamivu



Mkuu wa United Graduate College and Seminary, Clyde Rivers,(kulia) akimkabidhi Shahada ya Uzamivu ya Masuala ya Jamii katika Kuthamini Utu, Mary Mwanjelwa, (wapili kushoto) kutoka kushoto ni askofu,Dkt,Arthun Kitongo wa Association of Evangelicals in Africa, Joe Mzunda na Prof Nathan Kabara.

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...