Tuesday, December 07, 2010

Mshindi wa pili wa Shindano la Tusker Project Fame awasili






LICHA ya Mganda Davis Ntare kutwaa taji la Tusker Project Fame 2010, jopo la majaji kwa pamoja na uongozi wa chuo cha mafunzo cha shindano hilo wamekiri kwamba mshiriki wa Tanzania, Peter Msechu, ana kila sababu ya kuwa ndiye mshindi wa shindano.

Kila mtu kwa wakati wake, majaji Ian, Hermes Joachim na Juliana Kanyomozi, walimtaja Msechu kuwa ni mwanamuzikii maarufu anayejiamini sana na kujiweza jukwaani, na pia mbunifu.

Sifa hizo ndizo zinazotakiwa kwa mwanamuziki wa karne hii iliyojaa utandawazi, walieleza majaji.

Msechu ambaye kete yake ya mwisho aliitupa kwa kutumia kwa kibao cha Kilwa Jazz aliudhihirishia tena umma wa wengi katika Afrika Mashariki kwamba anaweza kuwainua kwenye viti na kuwaimbisha muda wowote anaotaka.

Msechu, huku akionyesha kujiamini kwamba muziki ni njia pekee ya kueleza hisia zake kwa jaji huyu kwani, angepata wapi nafasi nyingine ya kumwambia.

"Ningemuita nikamwambia nina maongezi naye angekuja?", alisema Msechu katika mkutano na waandishi wa habari mara baada ya onyesho hilo kwisha na washindi kutajwa katika maeneo ya Ruaraka, jijini Nairobi, eneo ambapopia yapo makao makuu ya East African Breweries, watengenezaji wa bia ya Tusker.

Akizungumza na Mwananchi, Msechu ambaye ameshinda mkataba wa mwaka mmoja wa wa kurekodi na Kampuni ya Africa Sound yenye makao makuu nchini Kenya alisema anaamini kuwa yeye ni mshindi, ila zawadi kubwa amechukua Davis, na atalithibitisha hilo atakapoanza rasmi kazi yake ya muziki, mashabiki wataendelea kufurahi kumsikiliza na kumuona jukwaani.

4 comments:

Anonymous said...

Choose the best Indian restaurant nearer to your home or office, enjoy breakfast, lunch and dinner with Indian flavor.

Go Out with Friends: Teens can use this homemade coupon on nights when you have something planned for
home. Taking the survey takes a total of two minutes, at maximum.


My page ... restaurant vouchers

Anonymous said...

Of course, the dictatorship in Egypt is far different than what
the vast majority of Americans face. A once great nation is sliding
down the toilet and most everyone, especially politicians, are lying endlessly
as it does, as if the nation’s decay should be ignored rather than honestly
combated by its citizens. To publicize her thoughts in America, El Saadawi
examines how each media institution is funded and whose interests are represented before she agrees
to an interview. God gets all buddy-buddy with Satan and
in fact hires Satan to cause our hero all sorts of
misfortunes and calamities. Both clutched and being clutched, she was driven to
the safety of her home by the motorcyclists.

my blog post: egyptian newspapers

Anonymous said...

Overall the times was a very exciting newspaper and one which is very insightful into its readers needs.
Some Local News papers/journals/ tabloids/Magazines focus on
regional happenings and target local audiences/ readers.
Hindi Samachar is entertaining millions of people
with incredible reports, events, information and gossips.
Thus, by putting the price, you get targeted customers who
are very interested in what you are offering; in other words, you get hot leads.
Newspapers internationally are becoming more than ever like a television network providing current
breaking news stories.

Here is my web blog; click here

Anonymous said...

Pretty nice post. I just stumbled upon your weblog and wanted
to say that I've truly enjoyed surfing around your blog posts. After all I will be subscribing to your feed and I hope you write again soon!

Check out my weblog :: fat loss factor