Saturday, December 18, 2010

Mariam Mohammed ndiye mshindi Bongo Star Search



Mwanadada Mariam, aliyejipatia umaarufu katika BSS 2010 kwa umahiri wake wa kuimba miondoko ya Taarabu, usiku wa kuamkia leo ametangazwa kuwa mshindi wa shindano hilo liliofanyika katika ukumbi wa Mlinami City jijini Dar es salaam na kushudiwa na Waziri wa habari, Michezo na Vijana, Emmanuel Nchimbi.
Pichani, Mariam akishangilia ushindi wake baada ya kukabidhiwa zawadi yake ambayo ni shilingi za bongo milioni 30 na zawadi nyingini kibao! kwa taarifa zaidi ingia http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/marim-ndiye-mshindi-bss-2010

1 comment:

emu-three said...

Hatimaye Taarabu imekubalika!

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...