Saturday, December 11, 2010

DONDOO KUHUSU MATONYA



Jina lake halisi ni Paulo Mawezi

Jina Matonya ni la utotoni

Ni mume wa wake watatu

Ni baba wa watoto wawili, Elizabeth na Ernest

Aliishi Kilimatinde, Singida miaka 30 iliyopita

Sasa ni mkazi wa Bahi Sokoni, Dodoma

Alianza 'kazi' ya ombaomba kabla ya uhuru

Hukusanya kati ya sh 4000 na 7000 kwa siku

Alitoroka kambini Moro, akapandishwa kizimbani

Kuila Krisimas 2010 jijini Dar es Salaam

1 comment:

Masangu Matondo Nzuzullima said...

Tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu mzee. Nilishawahi "kumfagilia" hapa:

http://matondo.blogspot.com/2010/09/fikra-ya-ijumaa-namfagilia-mzee-anthony.html

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...