Rais Dk Jakaya Mrisho Kikwete akilicharaza gitaa wakati alipowaongoza wanafamilia nyumbani kwake kumpongeza mkewe Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka 47 jana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
4 comments:
Happy birthday, na hongera sana!
naona atacharaza sana gitaa miaka mitano ijayo, jinsi nchi inavyokuwa masikini kila siku toka alipoanza mkapa 1995. jk una safari ndefu mwe, ungetupa uhuru wetu wa kuchagua atakae tufaa, umeamua kuchukua urembo/ufisadi,toka 2005 nilijua utakuwa rais mastaili tuu, hakuna kipya umeleta!!! kaunda wa zambia alicharaza gitaa miaka ya sabini na themanini yakamshinda!!!!
uchaguzi huu jk amekuwa laurent ghabo wa ivory coast na dr slaa amekuwa allassanne bila ushahidi wa umoja wa mataifa, vyombo vyote vya habari nje vinsema uchaguzi halali haukufanyika Tanzania, sasa ni juu yetu sisi wabongo tuamue kuvumilia utawala huu wa haramu au tuanze mapinduzi!!!
Sehr guter Beitrag.
Post a Comment