Rais Dk Jakaya Mrisho Kikwete akilicharaza gitaa wakati alipowaongoza wanafamilia nyumbani kwake kumpongeza mkewe Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka 47 jana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PPAA yatoa rai wazabuni kutumia moduli kuwasilisha rufaa
Na Mwandishi wetu, Dar Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malal...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
4 comments:
Happy birthday, na hongera sana!
naona atacharaza sana gitaa miaka mitano ijayo, jinsi nchi inavyokuwa masikini kila siku toka alipoanza mkapa 1995. jk una safari ndefu mwe, ungetupa uhuru wetu wa kuchagua atakae tufaa, umeamua kuchukua urembo/ufisadi,toka 2005 nilijua utakuwa rais mastaili tuu, hakuna kipya umeleta!!! kaunda wa zambia alicharaza gitaa miaka ya sabini na themanini yakamshinda!!!!
uchaguzi huu jk amekuwa laurent ghabo wa ivory coast na dr slaa amekuwa allassanne bila ushahidi wa umoja wa mataifa, vyombo vyote vya habari nje vinsema uchaguzi halali haukufanyika Tanzania, sasa ni juu yetu sisi wabongo tuamue kuvumilia utawala huu wa haramu au tuanze mapinduzi!!!
Sehr guter Beitrag.
Post a Comment