Rais Dk Jakaya Mrisho Kikwete akilicharaza gitaa wakati alipowaongoza wanafamilia nyumbani kwake kumpongeza mkewe Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka 47 jana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE
Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
4 comments:
Happy birthday, na hongera sana!
naona atacharaza sana gitaa miaka mitano ijayo, jinsi nchi inavyokuwa masikini kila siku toka alipoanza mkapa 1995. jk una safari ndefu mwe, ungetupa uhuru wetu wa kuchagua atakae tufaa, umeamua kuchukua urembo/ufisadi,toka 2005 nilijua utakuwa rais mastaili tuu, hakuna kipya umeleta!!! kaunda wa zambia alicharaza gitaa miaka ya sabini na themanini yakamshinda!!!!
uchaguzi huu jk amekuwa laurent ghabo wa ivory coast na dr slaa amekuwa allassanne bila ushahidi wa umoja wa mataifa, vyombo vyote vya habari nje vinsema uchaguzi halali haukufanyika Tanzania, sasa ni juu yetu sisi wabongo tuamue kuvumilia utawala huu wa haramu au tuanze mapinduzi!!!
Sehr guter Beitrag.
Post a Comment